Zaburi 60:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Mungu amenena kwa utakatifu wake, Nami nikishangilia. Nitaigawanya Shekemu, Na kulipima bonde la Sukothi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mungu amesema kutoka patakatifu pake “Sasa nitaigawa Shekemu kwa shangwe, Bonde la Sukothi nitalipima sehemusehemu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mungu amesema kutoka patakatifu pake “Sasa nitaigawa Shekemu kwa shangwe, Bonde la Sukothi nitalipima sehemusehemu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mungu amesema kutoka patakatifu pake “Sasa nitaigawa Shekemu kwa shangwe, Bonde la Sukothi nitalipima sehemusehemu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi. Tazama sura |