Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 60:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 60:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.


Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.


Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.


Ee Mungu, umkomboe Israeli, Katika taabu zake zote.


Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa utulivu, Wokovu wangu hutoka kwake.


Kwa maana msaada wa Misri haufai kitu na ni bure; Kwa hiyo nimemwita, “Rahabu aketiye kimya”.


Basi Wamisri ni wanadamu wala si Mungu, na farasi wao ni nyama wala si roho; na BWANA atakaponyosha mkono wake, yeye asaidiaye atajikwaa, na yeye asaidiwaye ataanguka, nao wataangamia wote pamoja.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo