Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 60:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Ee Mungu, si Wewe uliyetutupa? Wala, Ee Mungu, hutoki na majeshi yetu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Je, umetuacha kabisa, ee Mungu? Wewe huendi tena na majeshi yetu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Je, umetuacha kabisa, ee Mungu? Wewe huendi tena na majeshi yetu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Je, umetuacha kabisa, ee Mungu? Wewe huendi tena na majeshi yetu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?

Tazama sura Nakili




Zaburi 60:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Akapiga Moabu, akawapima kwa kamba wakiwa wamelazwa chini; akapima kamba mbili za kuuawa, na kamba moja nzima ya kuhifadhi hai. Wamoabi wakawa watumishi wa Daudi, wakaleta zawadi.


Daudi akaweka ngome katika Shamu ya Dameski, na hao Washami wakawa watumishi wa Daudi, wakaleta zawadi. Naye BWANA akampa Daudi kushinda kila alikokwenda.


Ee Mungu, si Wewe uliyetutupa? Wala, Ee Mungu, huendi na majeshi yetu?


Hawa wanataja magari na hawa farasi, Lakini sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.


Ee Mungu, umetutupa na kututawanya, Umekuwa na hasira, uturudishe tena.


Nami nitamngojea BWANA, awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo, nami nitamtazamia.


BWANA akaniambia, Waambie, Msiende, wala msipigane; kwani mimi siko kati yenu; msije mkapigwa mbele ya adui zenu.


kwa maana BWANA, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi.


Na wafalme hao wote na nchi zao Yoshua akatwaa kwa wakati mmoja, kwa sababu yeye BWANA, Mungu wa Israeli, alipigana kwa ajili ya Israeli,


Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo