Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Macho yangu yameharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.

Tazama sura Nakili




Zaburi 6:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nakusihi, BWANA, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako. Hezekia akalia sana sana.


Jicho langu nalo limekuwa giza kwa sababu ya majonzi, Na viungo vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.


Hivyo basi nami nimepewa miezi ya ubatili iwe fungu langu, Nami nimeandikiwa mateso usiku hata usiku.


Nilipokosa kuungama dhambi zangu, mifupa yangu ilipooza Kwa kulia kwangu mchana kutwa.


Moyo wangu unadundadunda, Nguvu zangu zimenitoka; Nuru ya macho yangu nayo imeniondoka.


Wanaonichukia bure ni wengi Kuliko nywele za kichwa changu. Watakao kunikatilia mbali ni wengi, Adui zangu kwa sababu isiyo kweli. Hata mimi nililipishwa kwa nguvu Vitu nisivyovichukua.


Jicho langu limefifia kwa ajili ya mateso BWANA, ninakuita kila siku; Ninakunyoshea Wewe mikono yangu.


Ulisema, Ole wangu! Kwa maana BWANA ameongeza huzuni pamoja na maumivu yangu. Nimechoka kwa ajili ya kuugua kwangu, wala sioni raha.


Kwa sababu hiyo mioyo yetu imezimia; Kwa ajili ya hayo macho yetu hayaoni vema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo