Zaburi 6:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Macho yangu yameharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na adui. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote. Tazama sura |