Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 6:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Na nafsi yangu imefadhaika sana; Na Wewe, BWANA, hadi lini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ninahangaika sana rohoni mwangu. Ee Mwenyezi-Mungu, utakawia mpaka lini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ninahangaika sana rohoni mwangu. Ee Mwenyezi-Mungu, utakawia mpaka lini?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ninahangaika sana rohoni mwangu. Ee Mwenyezi-Mungu, utakawia mpaka lini?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Hadi lini, Ee Mwenyezi Mungu, hadi lini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee bwana, mpaka lini?

Tazama sura Nakili




Zaburi 6:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu.


Nimedhoofika na kupondeka sana, Nimeugua kwa fadhaa ya moyo wangu.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumainie Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Je! Bwana atatutupa milele na milele? Asiwe na fadhili kwetu kamwe?


Ili nizisimulie sifa zako zote; Katika malango ya binti Sayuni Nitaufurahia wokovu wako.


Urudi, Ee BWANA utakasirika hadi lini? Wahurumie watumishi wako.


Roho ya mtu itastahimili udhaifu wake; Bali roho iliyovunjika nani awezaye kuistahimili?


Uniponye, Ee BWANA, nami nitaponyeka; uniokoe, nami nitaokoka; kwa maana wewe ndiwe uliye sifa zangu.


Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.


Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao?


Sasa roho yangu imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo nilivyoifikia saa hii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo