Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 59:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Bila kosa langu wanaenda mbio, kujiweka tayari; Inuka utazame na kunisaidia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Bila ya kosa, hatia au dhambi yangu, wanakimbia, ee Mwenyezi-Mungu, kujiweka tayari. Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukatazame na kunisaidia!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Bila ya kosa, hatia au dhambi yangu, wanakimbia, ee Mwenyezi-Mungu, kujiweka tayari. Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukatazame na kunisaidia!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Bila ya kosa, hatia au dhambi yangu, wanakimbia, ee Mwenyezi-Mungu, kujiweka tayari. Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukatazame na kunisaidia!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

Tazama sura Nakili




Zaburi 59:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Uamke, uwe macho ili kunipatia hukumu Kwa ajili ya madai yangu, Mungu wangu na Bwana wangu.


Amka, Bwana, mbona umelala? Ondoka, usitutupe milele.


Utawaharibu wasemao uongo; BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila


Je! Wataokoka kwa uovu wao? Ee Mungu, uwaangamize kwa hasira yako.


Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.


Amka, amka, jivike nguvu, Ee mkono wa Bwana; Amka kama katika siku zile za kale, Katika vizazi vile vya zamani.


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Basi sasa ninyi pamoja na wazee wa baraza mwambieni jemadari amlete chini kwenu, kana kwamba mnataka kujua habari zake vizuri zaidi; na sisi tuko tayari kumwua kabla hajakaribia.


Miguu yao ina mbio kumwaga damu.


Naye Yonathani akamsifu Daudi kwa Sauli, babaye akamwambia, Mfalme asikose juu ya mtumishi wake, yaani, juu ya Daudi kwa maana yeye hakukosa juu yako, tena matendo yake kwako yamekuwa mema sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo