Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 59:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Uniponye nao wafanyao maovu, Uniokoe na watu wa damu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Uniokoe na hao wanaotenda maovu; unisalimishe kutoka kwa hao wauaji!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Uniokoe na hao wanaotenda maovu; unisalimishe kutoka kwa hao wauaji!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Uniokoe na hao wanaotenda maovu; unisalimishe kutoka kwa hao wauaji!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Uniponye na watu watendao maovu, uniokoe kutokana na wanaomwaga damu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 59:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, laiti ungewaua waovu! Na laiti watu wa damu wangetoka kwangu;


Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na wauaji.


Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.


Ni nani atakayesimama Kwa ajili yangu juu ya wabaya? Ni nani atakayenisaidia Juu yao wafanyao maovu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo