Zaburi 58:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Na wawe kama konokono anayeyeyuka akitembea, kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kama konokono ayeyukavyo akitembea, kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu, wasilione jua. Tazama sura |