Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 58:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Na wawe kama konokono anayeyeyuka akitembea, kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Kama konokono ayeyukavyo akitembea, kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu, wasilione jua.

Tazama sura Nakili




Zaburi 58:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ningalikuwa kama mtu asiyekuwapo; Ningalichukuliwa kaburini kutoka tumboni.


Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.


Mtu akizaa watoto mia moja, akaishi miaka mingi, hata siku za maisha yake zikiwa nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo