Zaburi 58:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Na mwanadamu atasema, Hakika iko thawabu yake mwenye haki. Hakika yuko Mungu Anayehukumu katika dunia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Watu wote watasema: “Naam, waadilifu hupata tuzo! Hakika yuko Mungu anayeihukumu dunia!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Watu wote watasema: “Naam, waadilifu hupata tuzo! Hakika yuko Mungu anayeihukumu dunia!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Watu wote watasema: “Naam, waadilifu hupata tuzo! Hakika yuko Mungu anayeihukumu dunia!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ndipo wanadamu watasema, “Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu, hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ndipo wanadamu watasema, “Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu, hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.” Tazama sura |