Zaburi 57:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mimi nimezungukwa na maadui, wenye uchu wa damu kama simba; meno yao ni kama mikuki na mishale, ndimi zao ni kama panga kali. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mimi nimezungukwa na maadui, wenye uchu wa damu kama simba; meno yao ni kama mikuki na mishale, ndimi zao ni kama panga kali. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mimi nimezungukwa na maadui, wenye uchu wa damu kama simba; meno yao ni kama mikuki na mishale, ndimi zao ni kama panga kali. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Niko katikati ya simba; nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kali, watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Niko katikati ya simba, nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, ambao ndimi zao ni panga kali. Tazama sura |