Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 56:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma siku ile niitapo. Neno hili najua kuwa MUNGU yu upande wangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kila mara ninapokuomba msaada wako, maadui zangu wanarudishwa nyuma. Najua kweli Mungu yuko upande wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kila mara ninapokuomba msaada wako, maadui zangu wanarudishwa nyuma. Najua kweli Mungu yuko upande wangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kila mara ninapokuomba msaada wako, maadui zangu wanarudishwa nyuma. Najua kweli Mungu yuko upande wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 56:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Rudi, ukamwambie Hezekia, mkuu wa watu wangu, BWANA, Mungu wa Daudi baba yako asema hivi, Nimeyasikia maombi yako, na kuyaona machozi yako; tazama, nitakuponya; siku ya tatu utapanda nyumbani kwa BWANA.


Usinifiche uso wako siku ya shida yangu, Unitegee sikio lako, siku niitapo unijibu upesi.


BWANA yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?


Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu.


BWANA wa majeshi yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.


Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.


Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua.


Ndipo wale waliomcha BWANA waliposemezana wao kwa wao. Naye BWANA akasikiliza, akasikia; na kitabu cha ukumbusho kikaandikwa mbele zake, kwa ajili ya hao waliomcha BWANA, na kulitafakari jina lake.


Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini.


Basi, tuseme nini juu ya hayo? Mungu akiwapo upande wetu, ni nani awezaye kutupinga?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo