Zaburi 56:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Umehesabu kutangatanga kwangu; Uyatie machozi yangu katika chupa yako; (Je! Hayamo katika kitabu chako?) Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Wewe wakujua kusukwasukwa kwangu; waweka kumbukumbu ya machozi yangu yote. Je, yote si yamo kitabuni mwako? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Wewe wakujua kusukwasukwa kwangu; waweka kumbukumbu ya machozi yangu yote. Je, yote si yamo kitabuni mwako? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Wewe wakujua kusukwasukwa kwangu; waweka kumbukumbu ya machozi yangu yote. Je, yote si yamo kitabuni mwako? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Andika maombolezo yangu; andika machozi yangu katika kitabu chako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangu katika gombo lako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako? Tazama sura |