Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 56:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ee Mungu Mkuu, hofu inaponishika, mimi nakutumainia wewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ee Mungu Mkuu, hofu inaponishika, mimi nakutumainia wewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ee Mungu Mkuu, hofu inaponishika, mimi nakutumainia wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wakati ninaogopa, nitakutumaini wewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wakati ninapoogopa, nitakutumaini wewe.

Tazama sura Nakili




Zaburi 56:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yehoshafati akaogopa, akauelekeza uso wake amtafute BWANA; akatangaza watu wote kufunga katika Yuda yote.


BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Nilimtafuta BWANA, naye akanijibu, Akaniokoa kutoka kwa hofu zangu zote.


Basi Daudi akaondoka, akakimbia siku ile, kwa hofu ya Sauli, akamwendea Akishi, mfalme wa Gathi.


Naye Daudi akayatia maneno hayo moyoni mwake, akamwogopa sana Akishi, mfalme wa Gathi.


Naye Daudi akafadhaika sana; kwa sababu watu walikuwa wakisema kwamba apigwe kwa mawe, kwa maana hao watu wote walisononeka, kila mtu kwa ajili ya wanawe na binti zake; lakini Daudi alijitia nguvu katika BWANA, Mungu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo