Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 55:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Ee Bwana, uwaangamize, uzivuruge ndimi zao, Maana nimeona dhuluma na fitina katika mji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Ee Bwana, uwaangamize na kuvuruga lugha yao; maana naona ukatili na ugomvi mjini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Ee Bwana, uwaangamize na kuvuruga lugha yao; maana naona ukatili na ugomvi mjini,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Ee Bwana, uwaangamize na kuvuruga lugha yao; maana naona ukatili na ugomvi mjini,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ee Bwana, uwatahayarishe waovu na uwachanganyishie semi zao, maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ee bwana, uwatahayarishe waovu na uwachanganyishie semi zao, maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.

Tazama sura Nakili




Zaburi 55:9
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia Daudi ya kwamba, Ahithofeli yu katika hao waliopatana na Absalomu; Daudi akasema, Ee BWANA, nakusihi, uugeuze ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili.


Katika manabii wa Yerusalemu nimeona neno linalochukiza sana; hufanya zinaa; huenda katika maneno ya uongo, hutia nguvu mikono ya watendao maovu, hata ikawa hapana mtu arejeaye na kuuacha uovu wake; wote pia wamekuwa kama Sodoma kwangu, na wenyeji wake kama Gomora.


Kama vile kisima kitoavyo maji yake, ndivyo utoavyo uovu wake; jeuri na kuharibu kwasikiwa ndani yake; ugonjwa na jeraha zi mbele zangu daima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo