Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 55:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Moyo wangu unaumia ndani yangu, Na hofu za mauti zimeniangukia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Moyo wangu umejaa hofu, vitisho vya kifo vimenisonga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Moyo wangu umejaa hofu, vitisho vya kifo vimenisonga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Moyo wangu umejaa hofu, vitisho vya kifo vimenisonga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Moyo wangu umejaa uchungu, hofu za mauti zimenishambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Moyo wangu umejaa uchungu, hofu ya kifo imenishambulia.

Tazama sura Nakili




Zaburi 55:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na Shimei alipolaani, alisema hivi, Nenda zako! Nenda zako! Ewe mtu wa damu! Ewe mtu usiyefaa!


Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Nilipata dhiki na mateso;


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Na nafsi yangu imefadhaika sana; Na Wewe, BWANA, hadi lini?


Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona mtu.


Maana nafsi yangu imeshiba taabu, Na uhai wangu umekaribia kuzimu.


Sasa roho yangu imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo nilivyoifikia saa hii.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo