Zaburi 55:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ameiokoa nafsi yangu iwe salama, asinikaribie mtu, Maana walioshindana nami walikuwa wengi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga. Tazama sura |