Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 55:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Ameiokoa nafsi yangu iwe salama, asinikaribie mtu, Maana walioshindana nami walikuwa wengi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Atanikomboa salama katika vita ninayoikabili, kwa maana maadui zangu ni wengi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.

Tazama sura Nakili




Zaburi 55:18
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ahimaasi akainua sauti yake, akamwambia mfalme, Amani. Akainama mbele ya mfalme kifudifudi, akasema, Ahimidiwe BWANA, Mungu wako, aliyewatoa watu hao walioiinua mikono yao juu ya bwana wangu, mfalme.


Basi Daudi akamwambia BWANA maneno ya wimbo huu, siku ile BWANA alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na mkononi mwa Sauli;


Akamjibu, Usiogope; maana walio pamoja nasi ni wengi kuliko wale walio pamoja nao.


Ee BWANA, usikie haki, ukisikilize kilio changu, Utege sikio lako kwa maombi yangu, Yasiyotoka katika midomo ya hila.


Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa, Maana ni wengi wanaonipiga vita.


Atanitumia msaada toka mbinguni na kuniokoa, Atawaaibisha wale wanaotaka kunishambulia. Mungu atazituma Fadhili zake na kweli yake.


Ukaisikia sauti yangu; usifiche sikio lako Ili usisikie pumzi yangu, kwa kilio changu.


Ama wadhani ya kuwa mimi siwezi kumsihi Baba yangu, naye ataniletea sasa hivi zaidi ya majeshi kumi na mawili ya malaika?


Ninyi, watoto wadogo, mnatokana na Mungu nanyi mmewashinda, kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo