Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 55:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Bali ni wewe, mtu mwenzangu, Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kumbe, lakini, ni wewe mwenzangu; ni wewe rafiki yangu na msiri wangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kumbe, lakini, ni wewe mwenzangu; ni wewe rafiki yangu na msiri wangu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kumbe, lakini, ni wewe mwenzangu; ni wewe rafiki yangu na msiri wangu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kumbe ni wewe, mwenzangu, mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kumbe ni wewe, mwenzangu, mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

Tazama sura Nakili




Zaburi 55:13
11 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Na ushauri wake Ahithofeli, aliokuwa akiutoa siku zile, ulikuwa kama mtu aulizapo kwa neno la Mungu; ndivyo yalivyokuwa mashauri yote ya Ahithofeli, kwa Daudi, na kwa Absalomu.


Lakini Wewe, BWANA, unifadhili, Uniinue nipate kuwalipa.


Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.


Jihadharini, kila mtu na jirani yake, wala msimtumaini ndugu awaye yote; maana kila ndugu atachongea, na kila jirani atakwenda huku na huko na kusingizia.


Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.


Lakini, tazama, mkono wake yeye anayenisaliti upo hapa pamoja nami mezani,


Basi Pilato, aliposikia maneno hayo, akamleta Yesu nje, akaketi juu ya kiti cha hukumu, mahali paitwapo Sakafu ya Mawe, au kwa Kiebrania, Gabatha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo