Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 55:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Tamaa mbaya zimo ndani yake; Dhuluma na hila haziondoki mitaani mwake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Uharibifu umeenea pote mjini, uhasama na udhalimu kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Uharibifu umeenea pote mjini, uhasama na udhalimu kila mahali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Uharibifu umeenea pote mjini, uhasama na udhalimu kila mahali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini, vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini, vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 55:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu,


Maana vinywani mwao hamna uaminifu; Moyo wao ni shimo tupu, koo lao ni kaburi wazi, Ulimi wao hujipendekeza.


Nyavu zao hazitakuwa mavazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao; kazi zao ni kazi za uovu, na vitendo vya udhalimu vimo mikononi mwao.


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo