Zaburi 54:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu; Ee BWANA, nitalishukuru jina lako, maana ni jema. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Nitakutolea tambiko kwa moyo mkunjufu; nitakushukuru kwa kuwa ni vema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Nitakutolea tambiko kwa moyo mkunjufu; nitakushukuru kwa kuwa ni vema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Nitakutolea tambiko kwa moyo mkunjufu; nitakushukuru kwa kuwa ni vema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Mwenyezi Mungu, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema. Tazama sura |