Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 54:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Uisikie, ee Mungu, sala yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Uisikie, ee Mungu, sala yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Uisikie, ee Mungu, sala yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 54:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti.


Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?


Basi hao Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kuelekea Yeshimoni?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo