Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 52:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kwa hivyo Mungu atakuangamiza milele, atakunyakua na kukuondoa nyumbani mwako; atakungoa katika nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kwa hivyo Mungu atakuangamiza milele, atakunyakua na kukuondoa nyumbani mwako; atakungoa katika nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kwa hivyo Mungu atakuangamiza milele, atakunyakua na kukuondoa nyumbani mwako; atakung'oa katika nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Hakika Mungu atakushusha chini kwa maangamizi ya milele: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu kutoka hema lako, atakung’oa kutoka nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Hakika Mungu atakushusha chini kwa maangamizi ya milele: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu kutoka hema yako, atakung’oa kutoka nchi ya walio hai.

Tazama sura Nakili




Zaburi 52:5
18 Marejeleo ya Msalaba  

Atang'olewa katika hema yake aliyokuwa akiitumaini; Naye atapelekwa kwake mfalme wa vitisho.


Nitaenenda mbele za BWANA Katika nchi za walio hai.


Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang'olewa.


Nami nitakusukuma na kukutoa katika mahali pako, naye atakushusha utoke hapa usimamapo.


Nilisema, Sitamwona BWANA, yeye BWANA, katika nchi ya walio hai; Sitamwona mwanadamu tena pamoja na hao wakaao duniani.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo