Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 51:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Unioshe kabisa uovu wangu, Unitakase dhambi zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Unioshe kabisa hatia yangu; unisafishe dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Unioshe kabisa hatia yangu; unisafishe dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Unioshe kabisa hatia yangu; unisafishe dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Unioshe na uovu wangu wote na unitakase dhambi yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Unioshe na uovu wangu wote na unitakase dhambi yangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 51:2
17 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akatuma wajumbe, akamtwaa; naye akaingia kwake; naye akalala naye; (maana yule mwanamke amekwisha kutakasika unajisi wake); kisha akarudi nyumbani kwake.


Ndipo BWANA akamtuma Nathani aende kwa Daudi. Naye akamwendea, akamwambia, Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini.


Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri.


Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi, Unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.


Jiosheni, jitakaseni; ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu; acheni kutenda mabaya;


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi; nitawatakaseni kutoka kwa uchafu wenu wote, na kutoka kwa vinyago vyenu vyote.


Na hilo vazi, lililofumwa, au lililosokotwa, au kitu chochote cha ngozi, utakalolifua, kama hilo pigo limetoka na kuliacha, ndipo litafuliwa mara ya pili, nalo litakuwa safi.


Katika siku hiyo watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, watafunguliwa chemchemi ya kuwatakasa kutoka kwa dhambi na kwa unajisi.


Simoni Petro akamwambia, Bwana, si miguu yangu tu, hata na mikono yangu na kichwa changu pia.


Basi sasa, mbona unakawia? Simama, ubatizwe, ukaoshwe dhambi zako, ukiliitia jina lake.


Na baadhi yenu mlikuwa watu wa namna hii; lakini mlioshwa, lakini mlitakaswa, lakini mlihesabiwa haki katika jina la Bwana Yesu Kristo, na katika Roho wa Mungu wetu.


tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake,


Nikamwambia, Bwana wangu, wajua wewe. Akaniambia, Hao ndio wanatoka katika dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao, na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo