Zaburi 51:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Maana hupendezwi na dhabihu, na kama ningeitoa, Wewe huridhii sadaka ya kuteketezwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa kweli wewe hupendezwi na tambiko, ama sivyo mimi ningalikutolea. Wewe huna haja na tambiko za kuteketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa kweli wewe hupendezwi na tambiko, ama sivyo mimi ningalikutolea. Wewe huna haja na tambiko za kuteketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa kweli wewe hupendezwi na tambiko, ama sivyo mimi ningalikutolea. Wewe huna haja na tambiko za kuteketezwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningeileta; hufurahii sadaka za kuteketezwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta, hufurahii sadaka za kuteketezwa. Tazama sura |