Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 50:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Nikusanyieni wacha Mungu wangu Waliofanya agano nami kwa dhabihu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 “Nikusanyieni waaminifu wangu, waliofanya agano nami kwa tambiko!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 “Nikusanyieni waaminifu wangu, waliofanya agano nami kwa tambiko!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 “Nikusanyieni waaminifu wangu, waliofanya agano nami kwa tambiko!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 “Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu, waliofanya agano nami kwa dhabihu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 “Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu, waliofanya agano nami kwa dhabihu.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 50:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake.


Enyi mmpendao BWANA, uchukieni uovu; Huwalinda nafsi zao watauwa wake, Na kuwaokoa na mkono wa wasio haki.


Apate kuyalinda mapito ya hukumu, Na kuhifadhi njia ya watakatifu wake.


Mimi mwenyewe nimewaamuru watu wangu waliowekwa wakfu kwangu, naam, nimewaita watu wangu walio hodari kwa ajili ya hasira yangu, watu wangu wenye kiburi.


Nanyi mtakimbia kwa njia ya bonde la milima yangu; kwa maana bonde lile la milima litaenea hata Aseli; naam, mtakimbia, kama vile mlivyokimbia mbele ya tetemeko la nchi, siku za Uzia, mfalme wa Yuda; na BWANA, Mungu wangu, atakuja, na watakatifu wote pamoja naye.


Naye atawatuma malaika wake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne, toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.


kwa maana hii ndiyo damu yangu ya agano, imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondoleo la dhambi.


apate kuifanya imara mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu, Baba yetu, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.


Basi, ndugu, tunawasihini, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo, na kukusanyika kwetu mbele zake,


na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.


Basi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka kwa wafu Mchungaji Mkuu wa kondoo, kwa damu ya agano la milele, yeye Bwana wetu Yesu,


Na Henoko, mtu wa kizazi cha saba toka kwa Adamu, alitoa maneno ya unabii juu ya hao, akisema, Angalia, Bwana yuaja na watakatifu wake, maelfu kwa maelfu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo