Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 50:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Je! Nile nyama ya mafahali! Au ninywe damu ya mbuzi!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Je, wadhani nala nyama ya fahali, au Kunywa damu ya mbuzi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Je, wadhani nala nyama ya fahali, au Kunywa damu ya mbuzi?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Je, wadhani nala nyama ya fahali, au: kunywa damu ya mbuzi?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Je, mimi hula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Je, mimi hula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi?

Tazama sura Nakili




Zaburi 50:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo yatampendeza BWANA kuliko ng'ombe, Au ndama mwenye pembe na kwato.


Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe.


Kwamba aitoa kwa ajili ya shukrani, ndipo atakaposongeza pamoja na hiyo sadaka ya shukrani mikate isiyotiwa chachu, iliyoandaliwa na mafuta, na mikate ya kaki isiyochachwa iliyopakwa mafuta, na mikate ya unga mwembamba uliolowama mafuta.


Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.


Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.


Uliokula shahamu za sadaka zao, Na kunywa divai ya sadaka zao za kinywaji? Na waondoke na kuwasaidia ninyi; Na wawe hao himaya yenu.


Watayaita mataifa waje mlimani; Wakasongeze huko sadaka za haki; Kwa kuwa watanyonya wingi wa bahari, Na akiba zilizofichamana za mchangani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo