Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 50:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Nawajua ndege wote wa milima, Na wanyama wote wa mashamba ni wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Ndege wote wa mwitu ni mali yangu, na viumbe vyote hai mashambani ni vyangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Ndege wote wa mwitu ni mali yangu, na viumbe vyote hai mashambani ni vyangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Ndege wote wa mwitu ni mali yangu, na viumbe vyote hai mashambani ni vyangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ninamjua kila ndege mlimani, nao viumbe wa kondeni ni wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ninamjua kila ndege mlimani, nao viumbe wa kondeni ni wangu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 50:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani anayempatia kunguru chakula, Makinda yake wanapomlilia Mungu, Na kutangatanga kwa kutindikiwa na chakula?


Kandokando hukaa ndege wa angani; Na kuimba wakiwa katika matawi.


Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.


Enyi wanyama wote wa porini njoni Mle, enyi wanyama wote wa porini.


Waangalieni ndege wa angani, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni huwalisha hao. Ninyi je! Si bora kuliko hao?


Watafakarini kunguru, ya kwamba hawapandi wala hawavuni; hawana ghala wala uchaga, lakini Mungu huwalisha. Bora ninyi mara nyingi kuliko ndege!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo