Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 49:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 ndipo aishi milele asilione kaburi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 kimwezeshe aendelee kuishi daima, asipate kuonja kaburi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 kimwezeshe aendelee kuishi daima, asipate kuonja kaburi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 kimwezeshe aendelee kuishi daima, asipate kuonja kaburi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 ili aishi milele na asione uharibifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 ili kwamba aishi milele na asione uharibifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 49:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hutaitupa kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.


Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Ni mwanamume gani atakayeishi asione mauti, Atakayejiokoa nafsi yake na mkono wa kuzimu?


Hazina za uovu hazifaidii kitu; Bali haki huokoa na mauti.


Mali hazifaidii kitu siku ya ghadhabu; Bali haki huokoa na mauti.


Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; Wala hakuna kuponyoka katika vita vile; Wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea.


Je, Baba zenu wako wapi? Je, manabii nao wanaishi milele?


ya kwamba Mungu amewatimizia watoto wetu ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu; kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwanangu, mimi leo nimekuzaa.


Kwa maana hutaiacha roho yangu katika kuzimu; Wala hutamtoa Mtakatifu wako aone uharibifu.


yeye mwenyewe akitangulia kuyaona haya, alitaja habari za kufufuka kwake Kristo, ya kwamba roho yake haikuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuona uharibifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo