Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 49:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 (Maana fidia ya nafsi zao ina gharama, Wala hawezi kuitoa hata milele;)

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 maana fidia ya maisha ni kubwa mno. Hawezi kutoa kitu chochote kinachotosha,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 maana fidia ya maisha ni kubwa mno. Hawezi kutoa kitu chochote kinachotosha,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 maana fidia ya maisha ni kubwa mno. Hawezi kutoa kitu chochote kinachotosha,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Fidia ya uhai ni gharama kubwa, hakuna malipo yoyote yanayotosha,

Tazama sura Nakili




Zaburi 49:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Au, Niokoeni na mkono wa adui? Au, Nikomboeni na mikono ya hao waoneao?


Bwana, ziko wapi fadhili zako za kwanza, Ulizomwapia Daudi kwa uaminifu wako?


Kwani atafaidiwa nini mtu akiupata ulimwengu wote, na kuipoteza nafsi yake? Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo