Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 49:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Nitatega sikio langu nisikie mithali, Na kufumbua fumbo langu kwa kinubi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Nitatega sikio nisikilize methali, nitafafanua kitendawili kwa muziki wa zeze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Nitatega sikio nisikilize methali, nitafafanua kitendawili kwa muziki wa zeze.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Nitatega sikio nisikilize methali, nitafafanua kitendawili kwa muziki wa zeze.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Nitatega sikio langu nisikilize mithali, nitafafanua kitendawili kwa zeze:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Nitatega sikio langu nisikilize mithali, nitafafanua kitendawili kwa zeze:

Tazama sura Nakili




Zaburi 49:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitafumbua kinywa changu kwa mithali, Niyatamke mafumbo ya kale.


Kufahamu mithali na kitendawili, na maneno ya wenye hekima na mafumbo yao.


Ndipo nikasema, Ee Bwana MUNGU, wao hunisema; Je! Mtu huyu si mtu mwenye kupiga mithali?


Na wakati wa mwisho wa ufalme wao, wakosaji watakapotimia kilele cha uovu wao, mfalme mwenye uso mkali, afahamuye mafumbo, atasimama.


Kwake nitanena mdomo kwa mdomo, Maana, waziwazi wala si kwa mafumbo; Na umbo la BWANA yeye ataliona. Mbona basi ninyi hamkuogopa Kumteta mtumishi wangu, huyo Musa?


Akatunga mithali yake, akasema, Balaki amenileta kutoka Aramu, Mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki, Njoo! Unilaanie Yakobo, Njoo! Unishutumie Israeli.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.


Basi, yoyote mliyosema gizani yatasikiwa mwangani; na mliyonena sikioni mwa mtu katika vyumba vya ndani, yatatangazwa juu ya dari.


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo