Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 49:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Kinywa changu kitanena hekima, Na fikira za moyo wangu zitakuwa za busara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Maneno yangu yatakuwa mazitomazito; mimi nitasema maneno ya hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Maneno yangu yatakuwa mazitomazito; mimi nitasema maneno ya hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Maneno yangu yatakuwa mazitomazito; mimi nitasema maneno ya hekima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kinywa changu kitasema maneno ya hekima, usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kinywa changu kitasema maneno ya hekima, usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 49:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.


Kama sivyo, unisikilize mimi; Nyamaza, nami nitakufunza hekima.


Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Maana furaha yangu hutoka kwa BWANA.


Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yapate kibali mbele zako, Ee BWANA, Mwamba wangu, na mwokozi wangu.


Kinywa chake mwenye haki hunena hekima, Na ulimi wake husema hukumu.


Bali jueni ya kuwa BWANA amejiteulia mtauwa; BWANA husikia nimwitapo.


Moyo wangu umefurika kwa jambo jema, Mimi nasema niliyomfanyia mfalme; Ulimi wangu ni kama kalamu ya mwandishi stadi.


Tega sikio lako uyasikie maneno ya wenye hekima, na kuuelekeza moyo wako kwa maarifa yangu;


Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.


Mafundisho yangu yatadondoka kama mvua, Maneno yangu yatatona-tona kama umande; Kama manyunyu juu ya majani mabichi; Kama matone ya mvua juu ya mimea.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo