Zaburi 49:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ajapojibariki nafsi yake alipokuwa hai, Na watu watakusifu ukijitendea mema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Ajapojikuza katika maisha haya, na kusifiwa kwa sababu ya kufanikiwa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Ajapojikuza katika maisha haya, na kusifiwa kwa sababu ya kufanikiwa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Ajapojikuza katika maisha haya, na kusifiwa kwa sababu ya kufanikiwa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri, na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa, Tazama sura |