Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 49:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Maana atakapokufa hatachukua chochote, mali yake haitashuka huko chini pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Maana atakapokufa hatachukua chochote, mali yake haitashuka huko chini pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Maana atakapokufa hatachukua chochote, mali yake haitashuka huko chini pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 kwa maana hatachukua chochote atakapokufa, fahari yake haitashuka pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 kwa maana hatachukua chochote atakapokufa, fahari yake haitashuka pamoja naye.

Tazama sura Nakili




Zaburi 49:17
10 Marejeleo ya Msalaba  

akasema, Mimi nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi, nami nitarudi tena huko uchi vile vile; BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.


Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.


Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao liko katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao,


Alivyotoka tumboni mwa mamaye, atakwenda tena tuputupu kama alivyokuja; asichume kitu chochote kwa ajili ya kazi yake, hata akichukue mkononi mwake.


Nanyi mtafanya nini siku ya kujiliwa, na wakati wa uangamivu, utakaokuja kutoka mbali sana? Je! Mtamkimbilia nani mpate msaada? Na utukufu wenu mtauacha wapi?


Kwa hiyo kuzimu kumeongeza tamaa yake, kumefunua kinywa chake bila kiasi; na utukufu wao, na wingi wao, na ghasia yao, naye pia afurahiye miongoni mwao, hushuka na kuingia humo.


Lakini Mungu akamwambia, Mpumbavu wewe, usiku huu wa leo wanataka roho yako! Na vitu ulivyojiwekea tayari vitakuwa vya nani?


Akalia, akasema, Ee baba Abrahamu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, aupoze ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.


hupandwa katika aibu; hufufuliwa katika fahari; hupandwa katika udhaifu; hufufuliwa katika nguvu;


Kwa maana hatukuja na kitu duniani, tena hatuwezi kutoka na kitu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo