Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 49:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Usiogope mtu atakapopata utajiri, Na fahari ya nyumba yake itakapoongezeka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Usihangaike ukiona mtu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Usihangaike ukiona mtu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Usihangaike ukiona mtu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Usitishwe mtu anapotajirika, fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Usitishwe mtu anapotajirika, fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

Tazama sura Nakili




Zaburi 49:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yakobo akasikia maneno ya wana wa Labani, wakisema, Yakobo amechukua mali yote ya baba yetu; na kwa mali ya baba yetu amepata fahari hii yote.


Naye Hamani akawasimulia habari za fahari ya mali zake, na wingi wa watoto wake, na pia mambo yote ambayo mfalme amemfanikisha kwayo, na jinsi alivyompandisha cheo juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.


Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Kwa nini niogope wakati wa shida, Ubaya ukinizunguka miguuni pangu?


Wenye haki washindapo, uko utukufu mwingi; Bali waovu waondokapo, watu hujificha.


Nitawakomboa kwa nguvu za kaburi; nitawaokoa kutoka kwa mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Huruma itafichika machoni mwangu.


Na mataifa watatembea katika nuru yake. Na wafalme wa nchi huleta utukufu wao ndani yake.


Nao wataleta utukufu na heshima ya mataifa ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo