Zaburi 48:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Kama tulivyosikia, ndivyo tulivyoona, Katika mji wa BWANA wa majeshi. Mji wa Mungu wetu; Mungu atauimarisha hata milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Yote tuliyosikia tumejionea wenyewe katika mji wa Mwenyezi-Mungu wa majeshi, naam, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atauimarisha milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Yote tuliyosikia tumejionea wenyewe katika mji wa Mwenyezi-Mungu wa majeshi, naam, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atauimarisha milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Yote tuliyosikia tumejionea wenyewe katika mji wa Mwenyezi-Mungu wa majeshi, naam, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atauimarisha milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele. Tazama sura |