Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 48:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Kama upepo wa mashariki Unapovunja jahazi za Tarshishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 kama waliokumbwa na kimbunga cha mashariki ambacho huzivunjavunja meli za Tarshishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 kama waliokumbwa na kimbunga cha mashariki ambacho huzivunjavunja meli za Tarshishi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 kama waliokumbwa na kimbunga cha mashariki ambacho huzivunjavunja meli za Tarshishi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 48:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu za Tarshishi baharini pamoja na merikebu za Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.


Yehoshafati akafanya merikebu za Tarshishi ziende Ofiri kuchukua dhahabu; lakini hazikuenda; kwa maana merikebu zilivunjika huko Esion-geberi.


Makabila ya watu wamesikia, wanatetemeka, Wakazi wa Ufilisti uchungu umewashika.


Nao watafadhaika; watashikwa na uchungu na maumivu; watakuwa na uchungu kama mwanamke aliye karibu kuzaa; watakodoleana macho; nyuso zao zitakuwa ni nyuso za moto.


na juu ya merikebu zote za Tarshishi, na juu ya kila taswira ipendezayo.


Nami nitawatawanya mbele ya adui, kama kwa upepo wa mashariki; nami nitaviangalia visogo vyao, wala si nyuso zao, siku ya msiba wao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo