Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 48:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika; Walikuja wote pamoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Wafalme walikusanyika, wakaenda pamoja kushambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wafalme walikusanyika, wakaenda pamoja kushambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wafalme walikusanyika, wakaenda pamoja kushambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,

Tazama sura Nakili




Zaburi 48:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme wa Shamu moyo wake ukamfadhaika sana kwa ajili ya jambo hili; akawaita watumishi wake, akawaambia, Je! Hamtanionesha, ni mtu yupi miongoni mwenu aliye upande wa mfalme wa Israeli?


Maana asema, Je! Wakuu wangu si wote wafalme?


Wajumbe wa taifa hilo waletewe jibu gani? Ya kuwa BWANA ameiweka misingi ya Sayuni, na ndani yake wale walioonewa katika watu wake watapata kimbilio kwake.


Siku ile wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda; Sisi tunao mji ulio na nguvu; Ataamuru wokovu kuwa kuta na maboma.


Hata ikawa katika siku za Ahazi, mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, mfalme wa Yuda, Resini, mfalme wa Shamu, na Peka, mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, wakapanda wakaenda Yerusalemu ili kupigana nao, lakini hawakuweza kuushinda.


Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao hao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wakiwa hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo