Zaburi 48:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Huyu ni Mungu, Mungu wetu milele! Atakuwa kiongozi wetu milele!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Huyu ni Mungu, Mungu wetu milele! Atakuwa kiongozi wetu milele!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Huyu ni Mungu, Mungu wetu milele! Atakuwa kiongozi wetu milele!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho. Tazama sura |