Zaburi 48:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Kama lilivyo jina lako, Ee Mungu, Ndivyo na sifa yako hadi miisho ya dunia. Mkono wako wa kulia umejaa haki; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Jina lako lasifika kila mahali, sifa zako zaenea popote duniani. Kwa mkono wako umetenda kwa haki; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Jina lako lasifika kila mahali, sifa zako zaenea popote duniani. Kwa mkono wako umetenda kwa haki; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Jina lako lasifika kila mahali, sifa zako zaenea popote duniani. Kwa mkono wako umetenda kwa haki; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki. Tazama sura |