Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 47:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Mungu ayatawala mataifa, Mungu ameketi katika kiti chake kitakatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mungu anayatawala mataifa yote; amekaa katika kiti chake cha enzi kitakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mungu anayatawala mataifa yote; amekaa katika kiti chake cha enzi kitakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mungu anayatawala mataifa yote; amekaa katika kiti chake cha enzi kitakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mungu anayatawala mataifa, Mungu ameketi kwenye kiti chake cha enzi kitakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Mungu anatawala juu ya mataifa, Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 47:8
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie; Na waseme katika mataifa, BWANA ametamalaki;


Atahukumu kati ya mataifa, Ataijaza nchi mizoga; Atawaponda wakuu katika nchi nyingi.


Bwana ndiye aliye mkuu, Na mwenye kusifiwa sana. Katika mji wa Mungu wetu, Katika mlima wake mtakatifu.


Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako, Fadhili na kweli zimo mbele za uso wako.


Kwa maana umenifanyia hukumu na haki Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki.


BWANA ametamalaki, amejivika adhama, BWANA amejivika, ukuu na nguvu, kama mavazi ya kifalme. Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike;


Je! Watawala waovu wanaweza kushirikiana nawe, Wale watungao madhara kwa njia ya sheria?


Semeni katika mataifa, BWANA ametamalaki; Naam, ulimwengu umethibitika usitikisike, Atawahukumu watu kwa adili.


BWANA ametamalaki, nchi na ishangilie, Visiwa vingi na vifurahi.


BWANA ametamalaki, mataifa wanatetemeka; Ameketi juu ya makerubi, nchi inatikisika.


BWANA ni mkuu katika Sayuni, Naye ametukuka juu ya mataifa yote.


Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja.


Lakini na alaaniwe mtu adanganyaye, ambaye katika kundi lake ana dume, akaweka nadhiri, ila amtolea Bwana kitu kilicho na kilema; kwa maana mimi ni Mfalme mkuu, asema BWANA wa majeshi, na jina langu latisha katika mataifa.


Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.


Nikasikia sauti kama sauti ya makutano mengi, na kama sauti ya maji mengi, na kama sauti ya radi yenye nguvu, ikisema, Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu wetu, Mwenyezi, amemiliki.


Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo