Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 46:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hukomesha vita popote duniani, huvunjavunja pinde na mikuki, nazo ngao huziteketeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hukomesha vita popote duniani, huvunjavunja pinde na mikuki, nazo ngao huziteketeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hukomesha vita popote duniani, huvunjavunja pinde na mikuki, nazo ngao huziteketeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.

Tazama sura Nakili




Zaburi 46:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;


Kwa maana Bwana, BWANA wa majeshi, atayatimiza maangamizo yaliyokusudiwa katika nchi yote.


Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua BWANA, kama vile maji yanavyoifunika bahari.


Naye atafanya hukumu katika mataifa mengi, atawakemea watu wa kabila nyingi; nao watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita tena kamwe.


Jeuri haitasikiwa tena katika nchi yako, Ukiwa na uharibifu hazitakuwa mipakani mwako; Bali utaziita kuta zako, Wokovu, Na malango yako, Sifa.


nami nitaupiga upinde wako, utoke katika mkono wako wa kushoto, na mishale yako nitaiangusha, itoke katika mkono wako wa kulia.


Kisha itakuwa katika siku hiyo, asema BWANA, nitawakatilia mbali farasi wako watoke kati yako, nami nitayaharibu magari yako ya vita;


BWANA akamwambia Yoshua, Wewe usiogope kwa ajili ya hao; kwani kesho wakati kama huu nitawatoa wakiwa wameuawa wote mbele ya Israeli; utawakata farasi wao, na magari yao utayateketeza kwa moto.


Yoshua akawafanyia vile vile kama BWANA alivyomwamuru; akawakata farasi wao, na kuteketeza magari yao kwa moto.


Pinde zao mashujaa zimevunjika, Na hao waliojikwaa wamepata nguvu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo