Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 46:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Njoni muyatazame matendo ya BWANA, Jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Njoni mwone matendo ya Mwenyezi-Mungu; oneni maajabu aliyoyafanya duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Njoni mwone matendo ya Mwenyezi-Mungu; oneni maajabu aliyoyafanya duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Njoni mwone matendo ya Mwenyezi-Mungu; oneni maajabu aliyoyafanya duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Njooni mkaone kazi za Mwenyezi Mungu jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Njooni mkaone kazi za bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 46:8
18 Marejeleo ya Msalaba  

Heri ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, Na tumaini lake ni kwa BWANA, Mungu wake,


Mungu wa fadhili zangu atanitangulia, Mungu atanijalia kutazama kwa ushindi juu ya adui zangu.


Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;


Ndipo watumishi wa Farao wakamwambia, Mtu huyu atakuwa tanzi kwetu sisi hadi lini? Wape hawa watu ruhusa waende zao, wamtumikie BWANA, Mungu wao; hujatambua bado ya kuwa Misri imekwisha haribika?


Farao akaondoka usiku, yeye na watumishi wake wote, na Wamisri wote; pakawa na kilio kikuu katika Misri; maana hapakuwa na nyumba hata moja asimokufa mtu.


Tazama, BWANA ameifanya dunia kuwa tupu, aifanya ukiwa, aipindua, na kuwatawanya wakaao ndani yake.


Nao watajenga mahali pa kale palipoharibiwa, watapainua mahali palipokuwa ukiwa zamani, watatengeneza miji iliyoharibiwa, mahali palipoachwa kizazi baada ya kizazi.


Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto wa kiume, naye atamwita jina lake Imanueli.


Fanyeni shauri pamoja, nalo litabatilika; Semeni neno, lakini halitasimama; Kwa maana Mungu yu pamoja nasi.


Lakini msimwasi BWANA, wala msiwaogope wale wenyeji wa nchi, maana wao ni chakula kwetu; kinga iliyokuwa juu yao imeondolewa, naye BWANA yuko pamoja nasi; msiwaogope.


Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!


Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa BWANA Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri.


Kwa kuwa lilikuwa ni la BWANA kuifanya mioyo yao kuwa migumu, hata wakatoka kupigana na Israeli, ili apate kuwaangamiza kabisa, wasihurumiwe lakini apate kuwaangamiza, kama vile BWANA alivyomwamuru Musa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo