Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 45:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Watapelekwa kwa furaha na shangwe, Na kuingia katika nyumba ya mfalme.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kwa furaha na shangwe wanafika huko, na kuingia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kwa furaha na shangwe wanafika huko, na kuingia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kwa furaha na shangwe wanafika huko, na kuingia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.

Tazama sura Nakili




Zaburi 45:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao waliokombolewa na BWANA watarudi, watafika Sayuni wakiimba; na furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; nao watapata kicheko na furaha, huzuni na kuugua zitatoweka.


Nao waliokombolewa na BWANA watarejea, Watafika Sayuni, wakiimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; Watapata shangwe na furaha; Huzuni na kuugua zitakimbia.


Nitawapa hawa nyumbani mwangu, na ndani ya kuta zangu, kumbukumbu na jina, lililo jema kuliko kuwa na watoto wa kiume na wa kike; nitawapa jina lidumulo milele, lisilokatiliwa mbali.


Nitafurahi sana katika BWANA, nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu; maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bwana arusi ajipambavyo kwa kilemba cha maua, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.


nikakuvika nguo ya taraza, nikakupa viatu vya ngozi ya pomboo, nikakufunga nguo ya kitani safi kiunoni mwako, nikakufunika kwa hariri.


Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.


Yeye ashindaye, nitamridhia kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo