Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 44:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Ee Mungu, Wewe ndiwe mfalme wangu, Uagize mambo ya wokovu kwa Yakobo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu! Wawajalia ushindi wazawa wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu! Wawajalia ushindi wazawa wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu! Wawajalia ushindi wazawa wa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu, unayeamuru ushindi kwa Yakobo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu, unayeamuru ushindi kwa Yakobo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 44:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Amewajulisha watu wake uwezo wa matendo yake, Kwa kuwapa urithi wa mataifa.


Israeli na amfurahie Yeye aliyemwumba, Wana wa Sayuni na wamshangilie mfalme wao.


Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.


Lakini Mungu ni mfalme wangu tokea zamani, Afanyaye mambo ya wokovu katikati ya nchi.


Maana ngao yetu ni BWANA, Na mfalme wetu ni wake Mtakatifu wa Israeli.


BWANA, mkono wako wa kulia umepata fahari ya uwezo, BWANA, mkono wako wa kulia wawasetaseta adui.


Kwa maana BWANA ndiye mwamuzi wetu; BWANA ndiye mfanya sheria wetu; BWANA ndiye mfalme wetu; ndiye atakayetuokoa.


Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Naye Yesu akiona ya kuwa mkutano unakusanyika mbio, akamkemea yule pepo mchafu, akamwambia, Ewe pepo bubu na kiziwi, mimi nakuamuru, mtoke huyu, wala usimwingie tena.


uyakumbuke hayo majaribu makuu yaliyoyaona macho yako, na hizo ishara, na maajabu, na mkono wa nguvu, na mkono ulionyoka, aliokutolea nje BWANA, Mungu wako; ndivyo atakavyowafanya BWANA, Mungu wako, mataifa yote unaowaogopa.


bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kukitimiza kiapo chake alichowaapia baba zenu, ndiyo sababu BWANA akawatoa kwa mkono wa nguvu, akawakomboa katika nyumba ya utumwa, katika mkono wa Farao, mfalme wa Misri.


Nikatuma nyigu mbele yenu, waliowafukuza mbele yenu hao wafalme wawili wa Waamori, si kwa upanga wako, wala kwa upinde wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo