Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 44:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Japo ulituponda katika pango la mbwamwitu, Na kutufunika kwa uvuli wa mauti.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hata hivyo umetuacha hoi kati ya wanyama wakali; umetuacha katika giza kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hata hivyo umetuacha hoi kati ya wanyama wakali; umetuacha katika giza kuu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hata hivyo umetuacha hoi kati ya wanyama wakali; umetuacha katika giza kuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha, na ukatufunika kwa giza nene.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha, na ukatufunika kwa giza nene.

Tazama sura Nakili




Zaburi 44:19
19 Marejeleo ya Msalaba  

Mguu wangu umeshikamana sana na hatua zake; Njia yake nimeishika, wala sikukengeuka.


Ishikwe na giza, giza tupu, kuwa yake; Wingu na likae juu yake; Chote kiifanyacho siku kuwa giza na kiitishe.


Mimi ni ndugu yao mbwamwitu, Ni mwenzao mbuni.


Naam, nijapopita kati ya bonde la kivuli cha mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.


Nimedhoofika na kupondeka sana, Nimeugua kwa fadhaa ya moyo wangu.


Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi.


Katika siku hiyo BWANA, kwa upanga wake ulio mkali, ulio mkubwa, ulio na nguvu, atamwadhibu Lewiathani, nyoka yule mwepesi, na Lewiathani, nyoka yule mwenye kuzongazonga; naye atamwua yule joka aliye baharini.


Na mchanga ung'aao mfano wa maji utakuwa ziwa la maji, na nchi yenye kiu itakuwa chemchemi za maji; katika makao ya mbweha, walipokuwa wamelala, patakuwa na majani, pamoja na mianzi na manyasi.


Nawe utawaambia neno hili, Macho yangu na yatiririke machozi, usiku na mchana, wala yasikome; kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjika mavunjiko makuu, kwa jeraha lisiloponyeka.


nena, useme, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ewe Farao, mfalme wa Misri, joka kubwa aoteaye kati ya mito yake, aliyesema, Mto wangu ni wangu mwenyewe, nami nimeufanya kwa ajili ya nafsi yangu.


Watu wale waliokaa katika giza Wameona mwanga mkuu, Nao waliokaa katika nchi na uvuli wa mauti Mwanga umewazukia.


Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye.


Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, lile joka likampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.


Na huyo wa tano akalimimina bakuli lake juu ya kiti cha enzi cha yule mnyama; ufalme wake ukatiwa giza; wakatafuna ndimi zao kwa sababu ya maumivu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo