Zaburi 43:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe kutoka kwa mtu wa hila asiye haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Onesha kuwa sina hatia ee Mungu; utetee kisa changu dhidi ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Onesha kuwa sina hatia ee Mungu; utetee kisa changu dhidi ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Onesha kuwa sina hatia ee Mungu; utetee kisa changu dhidi ya watu wabaya; uniokoe na watu waongo na waovu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu. Tazama sura |