Zaburi 42:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Mchana BWANA ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Mwenyezi-Mungu atanijalia fadhili zake mchana; nami nimwimbie wimbo wa sifa usiku, nimwombe Mungu anipaye uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Mwenyezi-Mungu atanijalia fadhili zake mchana; nami nimwimbie wimbo wa sifa usiku, nimwombe Mungu anipaye uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Mwenyezi-Mungu atanijalia fadhili zake mchana; nami nimwimbie wimbo wa sifa usiku, nimwombe Mungu anipaye uhai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Mwenyezi Mungu huelekeza upendo wake mchana, wimbo wake uko nami usiku: maombi kwa Mungu wa uzima wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Mchana bwana huelekeza upendo wake, usiku wimbo wake uko nami: maombi kwa Mungu wa uzima wangu. Tazama sura |