Zaburi 42:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Nimepondwa kwa matukano yao, wanaponiuliza kila siku: “Yuko wapi, Mungu wako!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Nimepondwa kwa matukano yao, wanaponiuliza kila siku: “Yuko wapi, Mungu wako!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Nimepondwa kwa matukano yao, wanaponiuliza kila siku: “Yuko wapi, Mungu wako!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali adui zangu wanaponidhihaki, wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali adui zangu wanaponidhihaki, wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?” Tazama sura |