Zaburi 41:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Wanitembeleapo husema maneno matupu; wanakusanya mabaya juu yangu, na wafikapo nje huwatangazia wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Wanitembeleapo husema maneno matupu; wanakusanya mabaya juu yangu, na wafikapo nje huwatangazia wengine. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Wanitembeleapo husema maneno matupu; wanakusanya mabaya juu yangu, na wafikapo nje huwatangazia wengine. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kila anapokuja mtu kunitazama, huzungumza uongo, huku moyo wake ukikusanya masingizio; kisha huondoka na kuyasambaza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kila anapokuja mtu kunitazama, huzungumza uongo, huku moyo wake hukusanya masingizio; kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko. Tazama sura |