Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 41:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Kwa neno hili nimejua ya kuwa wapendezwa nami, Kwa kuwa adui yangu hajivunii kunishinda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Hivyo nitajua kwamba unapendezwa nami, maadui zangu wasipopata fahari juu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Hivyo nitajua kwamba unapendezwa nami, maadui zangu wasipopata fahari juu yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Hivyo nitajua kwamba unapendezwa nami, maadui zangu wasipopata fahari juu yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 41:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na ahimidiwe BWANA; Asiyetutoa kuwa mawindo kwa meno yao.


Adui yangu asije akasema, Nimemshinda; Watesi wangu wasifurahi ninapoondoshwa.


BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Ee Mungu wangu, Nimekutumainia Wewe, nisiaibike, Adui zangu wasifurahi kwa kunishinda.


Wala hukunitia mikononi mwa adui; Miguu yangu umeisimamisha mahali penye usalama.


Wasiseme moyoni, Haya! Ndivyo tutakavyo; Wasiseme, Tumemmeza.


Unifanyie ishara ya wema, Wanichukiao waione na kuaibishwa. Kwa kuwa Wewe, BWANA, Umenisaidia na kunifariji.


Mwimbieni BWANA; msifuni BWANA; Kwa maana ameiponya roho ya mhitaji Katika mikono ya watu watendao maovu.


akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuziaibisha hadharani, akiziongoza kwa ushindi wake wa shangwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo