Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 40:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Waaibike na wafedheheke, Wote wanaotaka kuniua. Warudishwe nyuma, watahayarishwe, Wapendezwao na shari yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Wanaonuia kuniangamiza, na waaibike na kufedheheka! Hao wanaotamani niumie, na warudi nyuma na kuaibika!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Wanaonuia kuniangamiza, na waaibike na kufedheheka! Hao wanaotamani niumie, na warudi nyuma na kuaibika!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Wanaonuia kuniangamiza, na waaibike na kufedheheka! Hao wanaotamani niumie, na warudi nyuma na kuaibika!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Wote wanaotafuta kuniua, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, wafukuzwe mbali kwa aibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu, waaibishwe na kufadhaishwa; wote wanaotamani kuangamizwa kwangu, warudishwe nyuma kwa aibu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 40:14
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa BWANA, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.


Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga;


Uniponye nafsi yangu na upanga, Mpenzi wangu na nguvu za mbwa.


Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja, Wanaoifurahia hali yangu mbaya. Wavikwe aibu na fedheha, Wanaojikuza juu yangu.


Waaibike na kufedheheka, Wanaoitafuta nafsi yangu. Warudishwe nyuma, wafadhaishwe, Wanaonizulia mabaya.


Ee Mungu, uniokoe, Ee BWANA, unisaidie hima.


Waaibishwe, watoweshwe, adui za nafsi yangu. Wavikwe laumu na aibu wanaonitakia mabaya.


Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.


Tazama, wote walioona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakuwa si kitu, na kuangamia.


Mmoja ataniambia, Kwa BWANA, peke yake, iko haki na nguvu; naam, watu watamwendea yeye, na wote waliomkasirikia watatahayarika.


Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo